Habari na taarifa mbalimbali


Habari za shule yetu | Tazama habari nyingine | Go Home | Go to events page


MATOKEO YA USAILI KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024, ULIOFANYIKA TAREHE 11/11/2023 (AWAMU YA PILI), HAYA HAPA
Posted on: 2023-11-17 05:47:32
Matokeo ya usaili kwa ajili ya kujiunga na kidato cha kwanza katika shule yetu, kwa mwaka wa masomo 2024, uliofanyika tarehe 11/11/2023, ambapo ni awamu ya PILI ya usaili, yametoka. Fuata kiungo MATOKEO kuona. Karibuni sana.